المدة الزمنية 5:42

MAMA MZAZI AMEUA WATOTO WAKE MWENYEWE KWA SUMU

بواسطة Salumy
405 مشاهدة
0
3
تم نشره في 2020/12/08

Regina Daniel (24), mkazi wa Louxmanda anatuhumiwa kuwauwa Watoto wake watatu kwa kuwalisha maembe yenye sumu inayodhaniwa kuwa ya Panya - Kamanda wa Polisi Mkoani humo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema chanzo cha Mauaji hayo ni ugomvi wa kifamilia kati ya Regina na mume wake #UKATALI

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0