المدة الزمنية 10:37

Rais Magufuli ahoji jambazi kufanya ujambazi bila kupokonywa bunduki

بواسطة JamiiForums
664 239 مشاهدة
0
1.6 K
تم نشره في 2016/06/25

Rais Magufuli amehoji kwanini jambazi aende kufanya ujambazi bila kupokonywa bunduki yake haraka wakati wao pia wana bunduki. Ametoa wito kwa polisi wote nchini, jambazi akienda sehemu na bunduki kufanya uhalifu, apokonywe bunduki yake haraka na polisi wanaowapokonya majambazi bunduki haraka wasipelekwe mahakamani, wapandishwe cheo kwani wananchi wamechoka. Amesema jeshi la polisi wakiamua Tanzania kuwe na amani, kutakua na amani. Amesema vijana wanaweza kuwa na hamu ya kufanya kazi lakini maofisa wa polisi wanawabana bana. Rais amezungumzia mchezo wa kuvujisha taarifa za wanaotoa taarifa za uhalifu na kukemea.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 176