المدة الزمنية 15:8

Dr. Chris Mauki : Hatua saba (7) za kufuta kumbukubu mbaya zinazokutesa

بواسطة Chris Mauki
29 377 مشاهدة
0
468
تم نشره في 2020/06/08

Wengi wetu tumepitia nyakati mbaya na zinazoumiza huko nyuma. Labda uliteswa, ulitengwa, ulinyanyaswa, ulidhulumiwa na mengine mengi. Mambo haya yote yana tabia ya kuacha alama kwenye maisha yetu, kwenye fikra zetu, na tunaendelea kuishi tukiwa na kumbukumbu mbaya sana kutokana na yale tuliyoyapitia. Najua huzipendi kumbukumbu hizi lakini zipo na zinakufuatilia. Je unatamani kuzifuta? Niruhusu nikufundishe hatua 7 za kukusaidia kuzifuta kabisa.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 81