@bonifacemashauri9032منذ 5 سنواتAm proud of Magufuli for this wonderful motivation in military forces. (blood of sarvation) 2
@
@ndarojuma5128منذ 7 سنواتjaman naipenda hii kazi tafadhali Mungu nisaidie maana ndio naanza process 4
@
@hondenisonmagufulinyabaro3923منذ 7 سنواتMaajabu hayo!!Hongera kwa hao,,,, from KIABUSURA bomakombi O'Nyabaro Mogeni na sipora kerubo tuko pamoja,,, suneka Bonchari kisii county
@
@peterezavoliahona7851منذ 7 سنواتThis beautiful haven't seen it before..noce 4
@
@salehelucy3527منذ 8 سنواتaisee hao kiboko maana sio kwahali hiyo kwakweli wapo vizuri sana so nice 4
@
@peterezavoliahona7851منذ 7 سنواتPlz come to Kenya we need u plz talk to our prezo 6
@
@cymoowanjeri6843منذ 4 سنواتThe dressing is smart . Slow and quick match perfect.
@
@josephgomalo41منذ 8 سنواتAiseeeeeeee .. ! Nimeshika adabu nitarudi JKT tena.. Nimekoma kujongo.. this is just great .. thanks JWTZ .. thanks watoto wa nyumbani..!
@ramadhaniyange6323منذ 8 سنواتJAMANI MIMI NILIKUWA MAJOR WA JESHI KWA HILI HAIJAWAHI KUTOKEA WAMEIVA,WAPO MAKINI, WANAIPENDA KAZI YAO NA WANAWAJIBIKA WANATUMIA AKILI HONGERENI 22
@
@FELIXMBWANJIمنذ 8 سنواتHuyu jamaa ni moto aiseee yaani mara kwa mara namcheki yaani ni hatari sana. big up sana kwa JWTZ
@
@peterremy8013منذ 5 سنواتKweli hongereni jeshi letu naamini nalindwa
@
@naftalimhemi1208منذ 3 سنواتKama vile tulipokuwa Tabora Boys Military School 1971
@andrewkibesjunior5936منذ 4 سنواتAm from Kenya lakini haya ya kiwi sijayaona
@
@tumwagilegedion694منذ 8 سنواتHaha Kiwi umenipa raha Jeshi mko vzr 4
@
@jeanmubemba1204منذ 5 سنواتHAHAHAHAH ,WATANZANIA WANA VIPAJI SANA AISEE,GOOD WORK GUYZ
@
@mwandiadam5490منذ 6 سنواتhapo kwa uzito wa 45kg hapana bado hamjanishawishi
@
@ibrahimaboker9086منذ 6 سنواتKila zama na kitabu chake Tulipokuwa TPDF 1973 mpaka tunastaafu tulikuwa wakakamavu ndio maana ya kuwa askari.MT7 Daima. 3
@
@felixokondo6372منذ 6 سنواتPull up still not accurate marekebisho kidogo two lakini hata ivo hongera 2
@
@mgangakidibwa6972منذ 4 سنواتVP VT by NFC BBS NFCve bunch vdd r vdd bb
@
@MilioneaTvمنذ 5 سنواتTangaza blog, App, youtube biashara au huduma kwa sh elfu 10 tu mwaka mzima kwenye mtandao wenye watu zaidi ya laki 3 ambao ni Mtandao pekee unaowalipa watu kwa kupost mada mbali mbali. Pia unapata blog kwa sh elfu 19 tu, App sh elfu 25 Youtube chanel sh elfu 10 blog inawekwa matangazo ya kukulipa maishani mwako. Kupata huduma hizo wasiliana whatsapp 0652428852 Karibu sana Pia wanahitajika watu wa kurekodi video kwa simu zao wasiliana whatsapp 0652428852 kwa maelezo zaidi ....وسعت
(blood of sarvation) 2
Jeshi mko vzr 4
Tulipokuwa TPDF 1973 mpaka tunastaafu tulikuwa wakakamavu ndio maana ya kuwa askari.MT7 Daima. 3
Pia wanahitajika watu wa kurekodi video kwa simu zao wasiliana whatsapp 0652428852 kwa maelezo zaidi ....وسعت