المدة الزمنية 10:18

EXCLUSIVE: ALIYEONGOZA MATOKEO KIDATO CHA NNE AFUNGUKA MAZITO / SIRI/ 'MGEDHANI NIMEKUWA KICHAA'

بواسطة Dar24 Media
14 522 مشاهدة
0
122
تم نشره في 2021/01/16

Dar24 Media imemtembelea nyumbani kwao mwanafunzi wa shule aliyeongoza katika matokeo ya kidato cha nne nchini Tanzania, Paul Luziga. Mwanafunzi huyo ameweka wazi siri ya maisha yaliyomfanya awe kinara katika matokeo hayo pamoja na ndoto zake. Mahojiano haya yatakupa picha halisi wanafunzi wanaofanya vizuri zaidi wanavyoandaliwa. TAFADHALI 'COMMENT' na 'SHARE' #tanzaniaone2020#paulluziga#pandahillsecondary

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 26