المدة الزمنية 4:20

Kakamatwa na Bangi Kagera lakini alivyojitetea kila mtu akacheka

بواسطة Millard Ayo
3 439 766 مشاهدة
0
13 K
تم نشره في 2017/02/17

Hii imetokea katika Wilaya ya Karagwe mkoa wa Kagera ambapo Mkuu wa Wilaya hiyo Godfrey Mheruka anafanya Oparesheni ya kukamata Watuhumiwa wa dawa za kulevya ambapo anashirikiana pia na Wanajeshi kwenye Oparesheni hiyo.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 1313