المدة الزمنية 6:2

Sakata la uagizaji sukari Zanzibar, Majaliwa apigilia msumari wa mwisho

بواسطة Azam TV
1 190 مشاهدة
0
8
تم نشره في 2020/01/30

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesisitiza maagizo aliyotoa alipofanya ziara kwenye kiwanda cha sukari cha Mahonda visiwani Zanzibar ni utekelezaji wa Ilani ya CCM na kusisitiza utaratibu unaoendelea sio sahihi kwa mwekezaji kukosa soko la ndani wakati mahitaji ya sukari visiwani humo ni makubwa ukilinganisha na kiasi cha sukari anachozalisha. #BungeniDodoma #AzamTVUpdates #Azamnews

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 8