المدة الزمنية 4:51

Magoli: Simba yamrarua Gwambina 3-0; Kagere, Mugalu wafanya kweli - VPL

بواسطة Azam TV
161 845 مشاهدة
0
945
تم نشره في 2020/09/26

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba SC, wamepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Gwambina FC katika mchezo uliopigwa kwenye Dimba la Benjamini Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Simba yamefungwa na Mmedie Kagere, Chris Mugalu na Pascal Wawa. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 121