المدة الزمنية 13:18

Ndugai Amkumbuka Makonda Mbele ya Samia Huyu Alijiita yeye ni Raisi wa mkoa msijidanganye kama yeye

بواسطة Taifa Digital
56 936 مشاهدة
0
158
تعليقات - 112
  • @
    @susankitila8684منذ 3 سنوات Waziri mkuu ana hekima sana. Na Mungu akubariki sana. Mh Majaliwa kweli wewe ulikua pamoja na Rais Magufuli. Ubarikiwe 1
  • @
    @stevenmabungi3245منذ 3 سنوات Namkubali sana waziri mkuu Ndugai hatufai sisi maana ni kinyongo huyu na mtu wa namna hii muogopeni sana. 2
  • @
    @nadhiriahmadi3120منذ 3 سنوات Hafai kuwa spika wa bunge Ni mnafiki mkubwa kipindi cha hayati magufuli alikuwa wapi 7
  • @
    @munakkwangaya5636منذ 3 سنوات Hongera Waziri mkuu huko pamoja sana na wananchi wako balakoa tupa Kuleee hazina nafasi Tanzania yetu tupo salama m/mungu anatusimamia vyema 3
  • @
    @valenakomba4453منذ 3 سنوات Sasa je, Acha umbea. Hata mzazi huwa wanasema mimi ndo Rais wa nyumba hii, kwani hapo kuna ubaya gani? Acheni majungu jamani msiwazibie watu riziki zao. id="hidden1" class="buttons"> Vibaya kama angesema yeye ni Mungu wa mkoa. Lakini kama a nasema yeye ni rais wa mkoa Ana haki ya kusema hayo. Kibinadamu wewe tu ndo umewaelewa vibaya. ....وسعت 6
  • @
    @tundamasaga9530منذ 3 سنوات Sio kweli kwenye utendaji ni lazima ujivishe majukumu yote usimuachie mtu ukipatia au kukosea lawama au sifa ziwe zako ndugai acha fitina Mkumbuke na sisi tunaakili. 2
  • @
    @marcoboniphace8108منذ 3 سنوات NIKIKUMBUKA MANENO YA BABA YETU ALISEMA MTAKUJA KUNIKUMBUKA KWA MAZURI SIYO KWA MABAYA. KWELI TAANZA KUYAONA. 5
  • @
    @ludoviclimo4153منذ 3 سنوات Mama tunakuku Bali sana.ila tunakuomba barakoa zannje ya nchi zisija hapa nchini. Mitumba ifungiwe isije. Kingjne kikwete asiwe muongeaji sana.kwakua elimu alioileta yeye Leo anaiponda.atumjui kwasasa. 4
  • @
    @pontianrweyongeza6240منذ 3 سنوات Ninashukuru mungu kuona taifa retu rinaenderea vizuri,
  • @
    @mariambilonkwa5183منذ 3 سنوات Mama Sa 100 ndungai ni nyoka wa ndumi la kuwili muogope kama ukoma. 2
  • @
    @johannesrwizaمنذ 3 سنوات Hatimae IKULU imerudi Dar Es Salaam. RIP MAGUFULI 3
  • @
    @maxlattinokiki8105منذ 3 سنوات M h: Samia, Huyu Ndungai nayeye ungeli muangalia tungeli mbadilisha maana huu uongozi una mpa batara!!kila siku yeye tu!khaah!! 3
  • @
    @sudymgeni701منذ 3 سنوات Yani ndugai mungu anakuona.baba angekuwepo ungeongea kweli
  • @
    @pitargamba9208منذ 3 سنوات Mwandishi acha ushoga nani hajui Makonda mazuri yaliyoyafanya tangia akiwa DC hadi RC alipambana na madawa ya kulevya nk. Hadi uchumi ukapanda daa 10
  • @
    @abdulkilala9845منذ 3 سنوات Linafiki tuuuuuu spika Gan msaliti nyau tuuuuu ww
  • @
    @susankitila8684منذ 3 سنوات Halafu mna ROHO. MBAYA SANA NYIE. kumuondoa. Makonda katika nafasi zooote. Kijana alikua anaweza uongozi au udn. Nini
  • @
    @yagwishaheke2524منذ 3 سنوات Ndugai kama mama tu huna unachomzidi makonda kazi 7
  • @
    @vbnmmnbv5292منذ 3 سنوات Hamna wa kumfananisha na Makonda japo sasahivi anaonekana hana maana ila Dar tulishazoea amshaamsha za Makonda mis ur Makonda 13
  • @
    @hamisikadege5867منذ 3 سنوات Umenifurahisha unavoanza kuanza kwa salamu ya Mungu maana hii awamu imehama kabisa kwa Mungu. Naona tunasalimiana kwa Nina la nchi
  • @
    @masanjamasaga3758منذ 3 سنوات Makonda alikuwa vzr sana ww unamchafua Bure mtu Wawa watu 3
  • @
    @jeffkonki8279منذ 3 سنوات Ogopa sana serikali ambayo kilaanaeongea anapigiwa makofi
  • @
    @manenoyusuph4907منذ 3 سنوات acheni unafiki huyo aliejivika joho la raisi kwani nchi ilikuwa haina kiongozi na akamtumbuwa mbona kama unazungumzia uongozi mnaoudhalilisha kwa uuma
  • @
    @stevenmabungi3245منذ 3 سنوات Mkuu wa mkoa ndiyo smirk jeshi mkuu katika Eneo husika Ndugai acha majungu wewe na msipende kujipendekeza ni dhambi kubwa kwa Mungu.
  • @
    @masanjamasaga3758منذ 3 سنوات Makonda alikuwa mchapa kz kafanya kz kwelikweli ktk mkoa wa dar 6
  • @
    @azizabdallah585منذ 3 سنوات Mh. Ndungai.hapana.hapana.
    hapana.kila mtu muhusika abebe msalaba wake.siyo Mkurugenzi kaharibu kazi eti Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya class="buttons"> wote wawajibishwe! Hivi hapo Bungeni kama Katibu wa Bunge kaharibu kazi.je ni haki wewe Spika na Naibu Spika muwajibishwe .
    ...وسعت
  • @
    @emilykassiano6173منذ 3 سنوات Majaliwa anapoongea unaona kabisa anamaanisha Mungu mlinde waziri mkuuu wetu. Na ukipenda mbeleni apate cheo kikubwa zaidi.
  • @
    @mary.matullu8279منذ 3 سنوات Msizoee masks za nje Zina funza tumia microscope utaona msioene vyanje watu wa huku hawawataki mema. Sijui muabiwe mara ngapi. 4
  • @
    @issanmedia4654منذ 3 سنوات Tumain lang ni kwa majaliwa , hakika ww cio mnafiki nakupenda barakoa kwetyu cio tiba ,ni lulu pekee iliobakia ,hatuwez jua sana lakin hakuna namna hyo id="hidden6" class="buttons"> nafac ulionayo ni nzuri lakin haitosh kututumikia sisi watanzania naona wavaa barakoa wako tofaut na mawazo yetyy ....وسعت
  • @
    @paulmasansi1815منذ 3 سنوات Anawatetea wakurugenzi kwakuwa Mke wake ni Mkurugenzi Wilaya ya BAHI
  • @
    @nassoromsangi1323منذ 3 سنوات Mh!Ndugai mbona umedharau Salamu Mama aliyoianzisha kusalimia kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..
  • @
    @maishayamtaani2831منذ 3 سنوات Mbona wewe ujawajibika ulimtukana makam wa rais kuwa akumshauri rais vizuri je ulijiuzuri 1
  • @
    @mawazokasembe8498منذ 3 سنوات Kila akilaumiwa makonda kunawengine wanasema alifanya kazi vizuri sana eti alidhibiti madawa ya kulevya! Hivi ndo jambo la muhimu alilotumwa akalifanye id="hidden7" class="buttons"> hilo? Mbona hamuongelei makontena waliyobaini kwamba niyake!? Acheni ujinga bwana na kama alifanya mazuri tu angeendelea kuwa madarakani. ....وسعت 4
  • @
    @bakarimngazija6672منذ 3 سنوات Ndungai huna jipya wewe mwenyewe huwajibiki bunge umelivuruga na kila mtu anajuwa Ndungai unajipendekeza lakini siku yako inakaribia na inakuja na majuto makubwa!! 1
  • @
    @lennykiganga4763منذ 3 سنوات Hivi hii nchi inarais kweli na kama yupo ni nan mbon sijaona rais wng akijakusikiliza kero kutwa nasia kunampokeaj wa wagen ikl but whatever the case nirud id="hidden9" class="buttons"> kweny point ya msingi rais anawakilishwa na mkuu wa mkoa akiwa hayupo ndo maana makonda akajiita rais sasa kwan ndungui ilikuwasxh nn ....وسعت
  • @
    @stevenmsaaada.msaada.389منذ 3 سنوات Wejamaa mbona unamajungu kama limwanamke ivo? 1
  • @
    @magrethmallya7728منذ 3 سنوات Bora Makon da kuliko wewe ndugaya kwani wewe kazi yako ninini? Hatukuelewi kabisa yani. Makonda babalao. 2
  • @
    @annakisiga889منذ 3 سنوات Wewe ndugai huwez kujifananisha na makonda send kuwa aliwazibia nafas zenu za uuzaji madawa ya kulevy pimbi wewe jimbon kwako hata umeme hauna
  • @
    @francokamugisa296منذ 3 سنوات Nchi hii ukisaidia wananchi unawaudhi wakubwa ukila na wakubwa unalaumiwa na wananchi,hapo chagua moja ule na wakubwa uwe salama au usaidie wananchi ufe 1
  • @
    @JK-uq1tvمنذ 3 سنوات Ila hiz barakoa Kuna viongozi hawajazoea wamefunika mdomo tu pua wameacha
  • @
    @florakweyunga4490منذ 3 سنوات Nani kama Makonda.Makonda amepambana,leo hii wewe unasema hivyo.walio mchukia Makonda niwale walio kuwa wanauza madawa ya kulevya.Tunamkumbuka saana Makonda.usilete chuki binafsi. 2
  • @
    @saidalsalmi9313منذ 3 سنوات Uko sawa mheshimiwa Ndugai ujipe ukubwa ambao huna.
  • @
    @lemsanyajoel8360منذ 3 سنوات Mweshimiwa Ndungai apo umesema ukweli.hao wanaokupigwa wanafiki zao na jao wanaowapigia debe
  • @
    @brightmackmwaky7968منذ 3 سنوات Mimi nawaomba wstanzania muwajue mafisi huyu ndugai ni ndumila kuwili nahisi ni asili ya ukwao umatonya. Hebu muangalieni anavyo jipendekeza kwa kuwapiga id="hidden12" class="buttons"> mawe watenda kazi wa kweli. Nina I asie jua kazi ya Makonda? Huyu yupo na kundi lile lililo muondoa JPM .tuwe makini nao hao ....وسعت
  • @
    @jamesndondole9483منذ 3 سنوات Msituchanganye na mabarakoa mnataka kutuua kwa hofuu!!!!?????
  • @
    @audaceleroi1370منذ 3 سنوات hivi watanzania hamuoni kama inchi imeshauzwa?
    Maana wale wote waliokuwa wanamuunga mkono jpm, sasa hivi wanapinga mambo yake!
    Ao ni mimi ndiye nisiyeona vizuri?
    3
  • @
    @ropaultv5610منذ 3 سنوات Hii nchi kwa sasa haina Rais,
    Haito kuja kutokea tena Tanzania ikawa na Rais mwanamke labda baada ya miaka 1000 kupita,
    Sioni Nuru katika id="hidden14" class="buttons"> nchi yangu kwa sasa,
    Leo tutasikia umeme kesho makubwa kuliko yanakuja. TUTAELEWANA TU.
    ....وسعت 2
  • @
    @diamondgeyser7987منذ 3 سنوات Acha ujinga ndugai, wakuu wa mikoa na wilaya ni wawakilishi wa raisi katika maeneo yao, haimaanishi kwamba wao ni Raisi. Ila ndungai unajipendekeza sana kwa Huyo mama mpaka inachefua.
  • @
    @fauzhaji7149منذ 3 سنوات Inapendeza kuona sasa musk zinavaliwa katika ngazi zajuu ..hopefully tutaona bungeni na sehemu nyingine nyingi na wananchi kwa ujumla.hapa sasa unaweza id="hidden16" class="buttons"> kusema mungu ibaribiki tanzania na uwalinde VIONGOZI na wananchi wake kwa ujumla .why I say this .because mungu anasema Jilinde nikulinde you cannot not taking precautions alafu uombe ulilindwe first take precautions then muombe mungu akulinde .very simple ....وسعت
  • @
    @ziadaomeri6058منذ 3 سنوات Makonda alifanya kazi acha kumchafuwa kabisa 7