المدة الزمنية 10:37

SAMIA, Amuunga Mkono Tundu lissu Demokrasia, Haki na Usawa Ni Muhimu sana, Ameahidi Utawala wake

بواسطة Taifa Digital
28 914 مشاهدة
0
115
تعليقات - 62
  • @
    @bertinkimati2674منذ 3 سنوات Mama nashukuru sana kwa moyo wako wa dhati ktk kuiendesha serikali. Mama nachoweza kukushauri ni kutokuruhusu watu wachache wenye mawazo ya uchochezi kukuharibia id="hidden1" class="buttons"> uongozi wako. Jmekuwepo serikali moaka mingi na unajuwa wazi yangu uongozi wa awamu ya 5 kulitokea ukiukwaji mkubwa wa haki za watanzania kikatiba. Ulikuwepo madarakani lakini hukuwa na kauli ya mwisho kwenye maamuzi. Umeshuhudia baadhi ya watu wenye chuki binafsi wakiibuka na kutoa tuhuma nzito sana kwa baadhi ya viongozi na haswa wale aa upinzani jambo ambalo lisipothibitiwa linaweza kuwa balaa kwa siku zijazo. Usikubali kuruhusu watu kama Musiba kueneza chyki kwa kisingizio cha uanaharakati huru. Kama kweli anajuwa kutafuta taadifa na zina ukweli ni vizuri akazipeleka moja kw moja kwa vyombo husika. Kuna mambo mengi anayoibua Musiba ni hatati kwa usalama wa taifa japo kwamba mtanguliz8 wako alipenda kuwafumbia macho kwa sababu tu aliamini kufanya hivyo ni kuwaum8z wapinzani wake bila kujali madhara yatokanayo na uchochezi huwa hayachagui wewe ni aa itikadi ipi. Mama usiruhusu na nasema tena usiruhusu kamwe. Wengi walizowea kuibuka na sofa na propaganda za kila aina kwa maslahi yao binafsi na sio kwa maslahi ya taifa. ....وسعت
  • @
    @omarynyagali3774منذ 3 سنوات Hongera sana mama yetu mpendwa mungu akulinde sana 3
  • @
    @dennisungonella205منذ 3 سنوات Mungu akutangulie mama yetu kwa kila Jambo. 2
  • @
    @eatlaweمنذ 3 سنوات Haki, uhuru, demokrasia na demokrasia vilivyokuwa vimepotea na kufa vinaanza kufufuka! 2
  • @
    @jituakilimali15منذ 3 سنوات uraisi sio sehemu Ya kurusha roho tumejifunza hatutorudia kosa hilo 4
  • @
    @chikiranathanael3097منذ 3 سنوات Mama hekima ulio nayo naomba Mungu akuongezee ili uzidi zaidi kua jasiri na kufanya kazi bila kiburi uko vizur Sana 1
  • @
    @saumsaum1916منذ 3 سنوات Ukisema dunia nzima wanakula idi wengine jumatano wengine alhamisi wengine leo ijumaa hakuna tarehe maalumu ya kufungulia
  • @
    @josephmakutano7067منذ 3 سنوات Nianjema ninzuri lakini tuweke misingi yamaana ili akijamubaya imuzibiti bilajuhudi zakatibamupya tutaangaika miaka yote !!!! 1
  • @
    @saumsaum1916منذ 3 سنوات Mbn wengine leo ndo wanakula idi km india leo ndo wana idi ya kwanza?
  • @
    @yohanisshaibu3811منذ 3 سنوات Mi siwezi sema uongo pole mama mimi sikukubali ata kidogo niliyemkubali ashafariki yeye ndiye aliyekuwa na mapya we huna lolote yote yalishakuwepo ikiwa pamoja na maneno matam ambayo hayana matendo.R.I.P jemedari
  • @
    @eatlaweمنذ 3 سنوات Asasi za Kirai zijaendaeni kupumua sasa mana ni enzi ya mama kuwapa fursa kufanya kazi kwa uadilifu! 1
  • @
    @joojombi2341منذ 3 سنوات Heading yako mbovu kabisa wee jipange tena kijana wacha kupotosha watu bhana
  • @
    @fortinatuswangubo981منذ 3 سنوات Mkuu wa mkoa wa Mara hakusitahili kupewa nafasi nyingine maana alishindwa kushugurikia malalamiko ya wafanyakazi wa kampuni ya kiribo LTD
  • @
    @nzagambaog4843منذ 3 سنوات Kaimbe mipasho wewe mama hakuna unachofanya ikulu 1
  • @
    @joojombi2341منذ 3 سنوات Kenge mkubwa wee na heading yako mbovu Maandazi mmja
  • @
    @sasha-ri7tfمنذ 3 سنوات Asalam alaikum Eid Mubarak. Mhe rais wetu Samia Suluhu Hassan watimuwe nchini hao wa Israel . 2
  • @
    @fortinatuswangubo981منذ 3 سنوات Mh Rais wa jamuhuri ya Tanzania sisi wafanyakazi wa kampuni ya kiribo LTD tunaomba utusaidie tangu tarehe 04/06/2020 tuliachishwa kazi hadi sasa hatujalipwa id="hidden3" class="buttons"> sitahiki zetu tunaomba msaada wako ili tuweze kulibwa haki zetu tumeteseka sana ....وسعت
  • @
    @yonaelikoinange1956منذ 3 سنوات Wanao tumia lugha za matusi mheshimiwa rais toa tamko washughulikiwe ila wengine wajifunze kunyamaza. 1
  • @
    @vitukoshow1561منذ 3 سنوات Ni kweli ila inaonekana demokrasia hutoa mianya mingi ya watu kufuja hela za serikali ndio maana ilipokosekana madini yetu yalizuiwa , gasi yetu tuliitumia id="hidden4" class="buttons"> vzr, mbuga zetu zikatuletea fedha nyingi za kigeni, nchi ikawa na chakula cha kutosha , wafanyabiashara na wanasiasa mamluki wakaikimbia nchi , bandari ikafanya biashara vzr na nchi ikaingia uchumi wa kati hapo mnasemaje ila nahisi mchanga wa makinikia hautalipiwa kodi namaanisha inawezekana nchi kuyumba km huna mikakati na kupendelea tabaka LA viongozi lkn kama unataka nchi ipige hatua ni lazima ushuke moja kwa moja kwa wananchi kama mwenzako sasa ukijiona ww ni special ndio chanzo cha nchi kufail kwa maana nguvu kazi itarudi mjini uzalishaji mashambani utashuka, na ulegevu kazini kama kawa pia hakutakuwa na heshima kwa wananchi alafu kumbuka askari wako si hao uliowaajiri Bali ni raia wa nchi yako kwa maana ndio wailindayo nchi na kurahisisha usalama kwa kutoa ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi. ....وسعت 2
  • @
    @machaggechacha3422منذ 3 سنوات Wakati wote Tz ina democrasy haki za binadamu na usaha wa wananchi ukilinganisha na hizi nchi za mabeberu na matapeli wazungu.
  • @
    @bertinkimati2674منذ 3 سنوات Mama nashukuru sana kwa moyo wako wa dhati ktk kuiendesha serikali. Mama nachoweza kukushauri ni kutokuruhusu watu wachache wenye mawazo ya uchochezi kukuharibia id="hidden5" class="buttons"> uongozi wako. Jmekuwepo serikali moaka mingi na unajuwa wazi yangu uongozi wa awamu ya 5 kulitokea ukiukwaji mkubwa wa haki za watanzania kikatiba. Ulikuwepo madarakani lakini hukuwa na kauli ya mwisho kwenye maamuzi. Umeshuhudia baadhi ya watu wenye chuki binafsi wakiibuka na kutoa tuhuma nzito sana kwa baadhi ya viongozi na haswa wale aa upinzani jambo ambalo lisipothibitiwa linaweza kuwa balaa kwa siku zijazo. Usikubali kuruhusu watu kama Musiba kueneza chyki kwa kisingizio cha uanaharakati huru. Kama kweli anajuwa kutafuta taadifa na zina ukweli ni vizuri akazipeleka moja kw moja kwa vyombo husika. Kuna mambo mengi anayoibua Musiba ni hatati kwa usalama wa taifa japo kwamba mtanguliz8 wako alipenda kuwafumbia macho kwa sababu tu aliamini kufanya hivyo ni kuwaum8z wapinzani wake bila kujali madhara yatokanayo na uchochezi huwa hayachagui wewe ni aa itikadi ipi. Mama usiruhusu na nasema tena usiruhusu kamwe. Wengi walizowea kuibuka na sofa na propaganda za kila aina kwa maslahi yao binafsi na sio kwa maslahi ya taifa. ....وسعت
  • @
    @fortinatuswangubo981منذ 3 سنوات Mh Rais wa jamuhuri ya Tanzania sisi wafanyakazi wa kampuni ya kiribo LTD tunaomba utusaidie tangu tarehe 04/06/2020 tuliachishwa kazi hadi sasa hatujalipwa id="hidden7" class="buttons"> sitahiki zetu tunaomba msaada wako ili tuweze kulibwa haki zetu tumeteseka sana ....وسعت
  • @
    @vitukoshow1561منذ 3 سنوات Ni kweli ila inaonekana demokrasia hutoa mianya mingi ya watu kufuja hela za serikali ndio maana ilipokosekana madini yetu yalizuiwa , gasi yetu tuliitumia id="hidden8" class="buttons"> vzr, mbuga zetu zikatuletea fedha nyingi za kigeni, nchi ikawa na chakula cha kutosha , wafanyabiashara na wanasiasa mamluki wakaikimbia nchi , bandari ikafanya biashara vzr na nchi ikaingia uchumi wa kati hapo mnasemaje ila nahisi mchanga wa makinikia hautalipiwa kodi namaanisha inawezekana nchi kuyumba km huna mikakati na kupendelea tabaka LA viongozi lkn kama unataka nchi ipige hatua ni lazima ushuke moja kwa moja kwa wananchi kama mwenzako sasa ukijiona ww ni special ndio chanzo cha nchi kufail kwa maana nguvu kazi itarudi mjini uzalishaji mashambani utashuka, na ulegevu kazini kama kawa pia hakutakuwa na heshima kwa wananchi alafu kumbuka askari wako si hao uliowaajiri Bali ni raia wa nchi yako kwa maana ndio wailindayo nchi na kurahisisha usalama kwa kutoa ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi. ....وسعت 2