المدة الزمنية 2:57

Waitara: Waliozidishiwa nauli kwenye basi warudishiwe

بواسطة Mwananchi Digital
2 342 مشاهدة
0
16
تم نشره في 2021/12/21

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mwita Waitara akiagiza abiria waliozidishiwa nauli kurudishiwa wakati alipofanya ziara yake katika kituo cha mabasi cha Magufuli kilichopo Mbezi Luis Jijini Dar es Salaam

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 9