MAAJABU: Dini ya Beyonce Yatikisa Dunia- BEYISM
MWAKA 1990 akiwa na umri wa miaka tisa, msanii wa Muziki wa R&B alijiunga kwa mara ya kwanza katika shule ya awali ya Parker Elementary huko Houston, Marekani.
Akiwa shuleni hapo ambapo pia hufundisha muziki, Beyonce alikuwa mmoja wa waimba kwaya wazuri. Miaka minne mbele, Beyonce aliteuliwa kuwa kiongozi wa kwaya katika kanisa waliokuwa wakisali wazazi wake la St John’s United Methodist.
Kuonesha kuwa muziki upo kwenye damu, katika kipindi hicho Beyonce alikutana na rafiki yake, LaTavia Roberson na kuamua kutengeneza kikundi cha wasichana cha kuimba na kucheza dansi kiitwacho Girl’s Tyme, hapo ndipo kukaibuka wasanii sita akiwemo Kelly Rowland.
Bada ya kupitia matamasha mengi, Girl’s Tyme waliamua kubadili jina la kundi na kujiita Destiny’s Child ambapo walibakiwa na wasanii watatu ambao ni Beyoncé Knowles, Kelly Rowland na Michelle Williams.
Ukiachilia mbali historia hiyo fupi ambayo baadaye kundi hilo lilikuja kugawanyika kila mmoja akifanya maisha yake. Kwa muda sasa Beyonce amefanikiwa kuiteka dunia katika burudani kupitia nyimbo zake, tangu alipoibuka na albamu yake ya kwanza ya Dangerously in Love (2003).
Maisha yanakwenda kasi sana! Beyonce ambaye kwa sasa ni mama wa watoto watatu aliozaa na Rapa Shawn Carter ‘Jay Z’ amekumbuka alipotoka, alipokuwa akiishi maisha ya kiroho, alipokuwa akiimba kwaya hadi kuwa kiongozi. Amekuja kwa mgongo mwingine wa kuanzisha dini yake iitwayo Beyism.
lnstal GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe /c/uwazi FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis ... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe /c/uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… /c/uwazi1/c/uwazi1/c/uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis ... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari INSTAGRAM: https://www.instagram.com/globalpubli ..
@dorinadorina1846منذ 6 سنواتI love my GOD may almighty God forgive them Amen 3
@
@aronijuma1913منذ 6 سنواتMUNGU ATABAKI KUWA MUNGU HIVO VINAITWA VIBURI VYA UZIMA UKIWA NA AFYA TELE HUWEZI JUA KAMA MUNGU YUPO U CAN DO ANYTHING AS YOUR HEART DESIRE id="hidden1" class="buttons"> BUT IPO SIKU MWILI UTAKAPOSHAMBULIWA NA MASUMBUFU YA DUNIA NDIPO ATASEMA THERE IS ONLY ONE 'GOD" WAMEPITA WANGAPI KAMA YEYE LEO HII WAKO WAPI? WENYE KASHFA NA DHIHAKA JUU YA MUNGU WAKO WAPI? WANATAKA KUTUPOTOSHA TU KWA AJILI YA BENEFITI ZAO ZA KIDUNIA KWA KUFANYISHWA VITU AMBAVYO HATA WAO HAWAVITAKI . ILA MUNGU ATABAKI KUWA MUNGU. ....وسعت52
@
@richardmiti2016منذ 6 سنواتkama nawe umekwazika na hili, acha like yako hapa ili tuende sawa 136
@
@fathiasaed4738منذ 6 سنواتMungu atuepushe Tanzania yetu mungu aiongoze njia ya haki nchiyetu 2
@
@nancyclerah1340منذ 6 سنواتYesu kristo ndiye wakuabudiwa.kwa maisha yangu yote katu sitamwabudu mwanadamu. 1
@
@amosichacha5675منذ 6 سنواتShetani akitaka kuzifanya kazi zake huwatumia watu, halikadhalika Mungu pia vivyohivyo. Waganga wa kienyeji, washirikina, mizimu, wasoma nyota nk. Hawa id="hidden2" class="buttons"> wanamuakilisha shetani na kazi zake hapa duniani. Manabii, mitume, wachungaji, walimu, wainjilist nk. Hawa humwakilisha Mungu na kazi zake hapa duniani. Dada huyu mwenyewe kwa hiari yake ameamua kuikataa mbingu, amekuwa wakala wa shetani. Siku yaja ambapo atakutana na mwenyewe mbingu yake. Ndipo atakapolia na kusaga meno, shetani hana ya mbingu ya kuwapeleka watu! ....وسعت14
@
@rukiahassan9959منذ 6 سنواتinnalillahi waina illahi rajiun..maskini wenzangu tumuombe mola akitupa mali bc atupe zenye kheir na sisi 54
@
@jantawakitaa3050منذ 6 سنواتdunia ina mambo Hii, aandae majibu kwa Allah (S. W) dunia inatupotosha Sana na shetani ananguvu Sana mungu tuepushie adhabu yako 57
@
@winfridagodson6514منذ 5 سنواتpapa ni kiongozi tu msimamiz wa kanisa haabudiwi wala kusujudiwa na MTU ila Beyonce anajiita ni mungu na wat wanaanguka kumsujudu 2
@
@rahmahussein4019منذ 6 سنواتDah !.tutayaona mengi mwaka huu baada ya manabii wa uwongo.sasa wanaanza kujitokeza.waungu wa uwongo na makanisa yao..ama kweli pesa si mwenzio.dunia ya mwisho hii wallahi . 4
@
@janetsimiyu7392منذ 6 سنواتKwa kweli dunia imeisha wenye tunaamini Mungu yuko naomba tumtafute kwa nguvu maana shetani ameinuka tena kwa kazi sana
@
@zoniloverosward2114منذ 6 سنواتEeh MUNGU wangu nionyeshe njia salama na uniepushe na njia za dunia. Mora wetu tusamehe,, 1
@
@fatinetto641منذ 6 سنواتNajuta kuzaliwa mklisto na namuomba mungu anijalie umaut usinikute nikiwa bado mklisto amina
@
@godwinayo5133منذ 6 سنواتmsifadhaike miyoyoni mwenu mnamwamini MUNGU niaminini na Mimi (YESU KRISTO) 20
@
@ellynassari9066منذ 6 سنواتMungu tuongoze, ninakemea izo vitabu zisifike Africa in Jesus Name na iyo dini,sijui wataenda kujibu nn siku ya mwisho
@
@awadhirajabu7754منذ 6 سنواتNabii ajitengenezi nabii akija duniani kila mja atajua tu mana yatatokea mambo ya kushangaza awa wanaojiita manabii ni waongo ila wao wameisoma sana dini id="hidden4" class="buttons"> na ukiwa ivo mungu ukupa balaka rakini so unabii nabii akija kila mtu atajua tu ....وسعت
@
@enockyohana6856منذ 6 سنواتNliwahi kusema.. Beyonce ni lusifa alie jiziirish kwa mwili uwo. Jay-Z nishetan kabsa. Jmn tumrudie Mungu tumuomb Sana'a.. Yaan mtu anafikia hatua ya kujiita mungu dah.. Tumefik pabaya 6
@
@user-vv1te9fu8qقبل 5 أشهرSasa na hao watoto waliowazaa wote watafata hilo dini lao sub,hanallah m,mungu tuepushe sisi na vizazi vyetu
@
@dullahdreams6822منذ 6 سنواتDah namskuru sna Allah kuniongoza katika uislam
@
@fatmakombo7584منذ 4 سنواتSubuhana allah mungu akituletea mitihani duniani tunasikitika huyu mungu mtu Beyoncé mungu atakuja kumtia mkononi ajute maisha yake yote
@
@haesang2949منذ 5 سنواتIla haya yote ni matunda ya kanisa Jinsi ilivyo wapoteza wengi katika umma 2
@
@fetymwamba8685منذ 6 سنواتMh!subhana llah mungu tusa mehe viumbe vyako wote sisi niwakosaji yarabi
@
@mussahamisi1191منذ 6 سنواتInnalillah wainnalillah rajiuni Wallah kiburi hicho akiandalie majibu ya kutosha mbele ya ALLAH
@
@baragatimaingu5623منذ 6 سنواتUkiwa na pesa na ukaanzisha dini na kusema ww n mungu watakuamin, Allah nipe mwisho mwema
@
@erneusngonyani9217منذ 5 سنواتMungu njoo ubebe dunia yako binadamu wamekua watumishi wa shetani ikiwa wanaishi ndani ya dunia yako plz dr God come to take ur world.tuone awa mashetani watu wataishia wapi raaana awaaah.
@
@sarahogama9540منذ 4 سنواتKweli ndio nmeamini shetani hufata walio wa Mungu ili awaaribu na kuwapotosha.nakemea ushetani huu wa makanisani kwa jina la Yesu
@
@catherinechristopher1672منذ 6 سنواتMungu wetu mpole jamni atusamehe tuu dunia imeisha
@
@salimmwaim7789منذ 6 سنواتlaana ya M'mungu iwafikie wote wanaofuata din tofaut na ya M'mungu
@
@sylvestermhojaaron9659منذ 4 سنواتWataruka sana, itabaki vilele kuwa YESU NI MUNGU NA BWANA WA MABWANA, beyce na wanaomfuta jehanamu ya moto inawasubilia kwa hamu sana,
@
@nancyclerah1340منذ 6 سنواتMungu tuepushe na uovu wa nyakati hizi pamoja na uongo.
@
@kadejahoe6543منذ 6 سنواتSubhannallah jamaniii dunia imeishaa daaah tumuogopenii mungu
@
@veronicmagnus9662منذ 5 سنواتMungu atusaidi kwan ni sku za mwisho Na matukio ndo aya yariyotabiliwa
@
@nandyndayance5678منذ 6 سنواتEeh Mungu wangu jaman dah yesu alisema lakn sasa tumuombe sana Mungu atusaidie maan hali inayoendelea dunian yanatisha
@
@user-vv1te9fu8qقبل 5 أشهرMfalme zumaridi wa marekani laana ya m,mungu imfikie ibilisi huyu afiriti minal,jinni
@
@agneskabira4388منذ 6 سنواتMungu wangu come and save as kweli dunia ina mambo never I will never ever abudu mwanadamu Kama mm 3
@
@mwaisa4769منذ 6 سنواتnamwamini mungu baba muumba wa mbingu na nchi baba wa yesu kristo
@
@fortunatasilipigni1632منذ 6 سنواتkaribu wasafi watafunguo kanisa lao pia 1
@
@nancyochieng4780منذ 5 سنواتDunia imeisha na Yesu yuaja hivi karibuni kwa hivyo tewe macho
@
@claraluoga3588منذ 6 سنواتkweli Mungu sio mwanadamu ningewafunika kwa ardhi dhambi zingine zinachefua
@
@jacquecharles9282منذ 6 سنواتduh kwer unajilinganisha na mungu ,,,,, ngoja ufe utasimulia yatayokukuta
@
@abwemtambala2294منذ 6 سنواتDunia imekwisha tuhombe Mungu kwa bidii sana
@
@salimmohd8279منذ 6 سنواتShetani ni waaaajabu sana anaingia ndani yaeanamke
@
@peterchristopher958منذ 6 سنواتUnamdiss ila bado nyimbo zake unazipenda.
@
@dorinekarimi6824منذ 6 سنواتConsuming fire awaits you Beyonce, repeat repeat!!
@
@ivanskaluta5924منذ 6 سنواتmungu niyureyure atabaki kuwa yureyure ariye umba mbingu nanchi hawo wengine nimaibirisituu
@
@christinajeremiah6412منذ 6 سنواتeeh mungu huturehemu maan tunapoelekea siko kabx
@
@jumaadena5657منذ 6 سنواتPharaoh wa pili uyu.tujiangalie tuendeko.iyo freedom tuitakayo itatucost.stiri IMAN yko
@
@m.mmarckus6298منذ 6 سنواتmanabii wa uwongo wanazidi kuongezeka,Mungu simama mwenyewe kutetea taifa letu
@
@johnsonfrodianus6237منذ 6 سنواتWatamkuta mungu mbiguni dawa yao anayo 1
@
@khamicwayne4740منذ 5 سنواتLaaaana tupu ..kufuru tele!!! Mtu kuzaliwa kma ww!!!leo hiii una muabudu!!! Dunia ime isha!! Mungu atusaidie jamani!!!
@
@aminabhaya1518منذ 3 سنواتDuh mwisho wa dunia umefika ila hawa wazungu wanatuletea majanga jmn eeee mung waadhibu
@
@rjjfhglena2137منذ 6 سنواتHapa ndo yesu ali sema. Then jesus said, Father, forgive them, for they do not know what they do, " 1
@
@neynath6036منذ 6 سنواتYaliyotabiriwa kwenye vitabu vya dini yaanza kutimia Mungu turehemu
@
@johnbernad1529منذ 5 سنواتHilo ni pepo shetani yupo kazini lakini Mungu atabaki kuwa mungu
@
@irenemkwizu9673منذ 6 سنواتMsimfananishe Papa na Beyonce NONSENCE. 11
@
@livichakimbo5363منذ 6 سنواتHuyu dada anajua sana anachokifanya hataki kwenda peke yake motoni
@
@carolinamushi5555منذ 6 سنواتIla beyece hilo sio kanisa ni sehemu takatifu wanapokusanyiwa wana wa Mungu na kumuabudu na kumsifu Mungu. Kama hapo panaotwa kanisa la beyece sio kanisa aseme tu ni sehemu yake ya starehe na kufanyia madhambi 1
@
@thobiasshingisha9033منذ 6 سنواتMwisho wa Dubai unakalibia Mungu upo Maori yote anayona
@
@salimaseleman3521منذ 5 سنواتTunaangamia kwa kukosa maalifa utamuabudu vp bnadam mwenzk
مقاطع الفيديو ذات الصلة على MAAJABU: Dini ya Beyonce Yatikisa Dunia- BEYISM:
HIVO VINAITWA VIBURI VYA UZIMA
UKIWA NA AFYA TELE HUWEZI JUA KAMA MUNGU YUPO U CAN DO ANYTHING AS YOUR HEART DESIRE id="hidden1" class="buttons"> BUT IPO SIKU MWILI UTAKAPOSHAMBULIWA NA MASUMBUFU YA DUNIA NDIPO ATASEMA THERE IS ONLY ONE 'GOD"
WAMEPITA WANGAPI KAMA YEYE LEO HII WAKO WAPI? WENYE KASHFA NA DHIHAKA JUU YA MUNGU WAKO WAPI?
WANATAKA KUTUPOTOSHA TU KWA AJILI YA BENEFITI ZAO ZA KIDUNIA KWA KUFANYISHWA VITU AMBAVYO HATA WAO HAWAVITAKI . ILA MUNGU ATABAKI KUWA MUNGU. ....وسعت 52
dunia inatupotosha Sana na shetani ananguvu Sana mungu tuepushie adhabu yako 57
baada ya manabii wa uwongo.sasa
wanaanza kujitokeza.waungu wa
uwongo na makanisa yao..ama kweli
pesa si mwenzio.dunia ya mwisho
hii wallahi . 4
Mora wetu tusamehe,, 1
Wallah kiburi hicho akiandalie majibu ya kutosha mbele ya ALLAH