MAMBO MUHIMU yakuzingatia kuhusu: 1. Tendo la Ndoa kipindi cha UJAUZITO, 2. Mavazi: Nguo za kuvaa, Maumivu ya mgongo kwa MAMA MJAMZITO, Athari zake na jinsi ya kujilinda, 3. Mazoezi yakufanya wakati wa UJAUZITO.
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
@biscuits001قبل 3 أشهرMi nlikuwa naumwa na tumbo miezi miwili mitatu nlishika shika nkawanaifanya kama naizungusha ..kumbe nlimzungusha mtoto akaangalia chini na miezi mitatu sijui kama n hatari akiwa hvo miezi yote
@
@andrewmakwi5106منذ 5 سنواتDada asante me naumwa ivo miez 8 ya mimba nilienda napewa dawa za utihai t Hosp he nifanje naumia adi mguuni 4
@
@marwalzzy5983منذ 4 سنواتHata mm Nina maumivu ya mgongo na ganzi 3
@
@fatmahaji7776منذ 2 سنواتMm mjamzito Kisha mtt anatulia juu ya kitovu tatiz nini nakupata choo cheusi
@
@shamambonahuwekimuendelezo6659منذ 2 سنواتUmejitahidi dada lkn ulikua na ka Presha ☺️
@
@jolieelysee6925منذ 3 سنواتMama mjamzito kulala chali nivibaya.ujauzito wa mwezi inamazala??pls nijibu docta 5
@
@irenemnywele8360منذ 5 سنواتdocktar mm naumwa Sana na tumbo tatizo nn pia mimba yangu ya Kwanzaa hii 16
@
@yunisgrayson2837منذ 2 سنواتMimi nakatazwa hata kutembea naambia nitakutana na vitu vibaya nipo kwa mama mkwe nimechoka ujauzito wangu unanituma kutembea Sina usingizi mchana usiku id="hidden2" class="buttons"> kwenyewe naanza kupata usingizi kuanzia saa sita au saa Saba ivo natamani ningempata mtu Kama wewe angemwelimisha kuwa natakiwa mazoezi ahsante kwa mafunzo yako ....وسعت1
@
@haithamshein7726منذ 4 سنواتmimo ni mja mzito na uke wng una maji mengi nifanyeje ? 4
@
@amirmotors9735منذ 6 سنواتDawa gan anatakiwa amezee mama mjamzito wenye miez 4, mwenye ugonjwa wa akir 7
@
@zainatoji1965منذ 3 سنواتMimi ninamimba mwenzio mmoja lakini naumwa sana na kiumo na mgongo tatizo nini 2
@
@irenepeter9041منذ 2 سنواتMmh mfupi mbona mm mfup na nimejifungua kawaida
@
@asiamark8841منذ 5 سنواتHlw doctor naomba kuuliza nna mimba ya miez minne Ila uzito auwongezeki na presha inakua chini sababu ni nn 5
@
@nyokarahim5080منذ 4 سنواتDoct mm nina mimba ya miez miwil lkn sasa nikienda choon natokwa na uchafu nimeenda hospital wananiambia mimba imeharibika lkn dam haitoki inawezekana kweli 5
@
@andrewmakwi5106منذ 5 سنواتAraf kama nimekaaa nikiamka napata maumivu makali 3
@
@fatimambaruku1833منذ 3 سنواتMm dokta kiuno kinaniuma mpaka nikiinama kuinuka Ni shida pamoja na miguu kweny joint ya kiuno nifanyeje
@
@sarahmuhinjo6746منذ 2 سنواتDk maumivu ninayo kwenye mgongo kutokana na ujauzito Kwa nn sipati kabisa hamu ya tend la ndoa je Hilo ni tatizo au kawaida tu 1
@
@iqraamansoor4616منذ 4 سنواتnauliza eti kama mtoto yupo upande wa kulia je?mama anatakiwa alale upande upi 6
@
@nandychaz1428منذ 4 سنواتNaomba kurinza mi nimjamnzito iranapata kichomi marakwamara 3
@
@yustakipenyakipenya9117منذ 5 سنواتAyo mazoez unaanza mimba ikiwa na umri gan
@
@maryseleman8019منذ 5 سنواتUmedanganya kulala chali mwisho miezi sita tofauti na hapo 4
@
@aloycesteven5998منذ 3 سنواتDada jitahidi kutoa na maandishi kusaidia wasio sikia masomo yako 2
@
@mamrashid7257منذ 5 سنواتDoctor mbona unahema sana uma pressure 6
@
@abellangaiza7940منذ 5 سنواتNaweza kufanya mazoezi nikiwa na mimba ya mwezi mmoja 4
@
@siaharold5685منذ 5 سنواتMm mjamzito anaruhusuwa kunywa grand malta 1
@
@shinjeclassic3053منذ 3 سنواتMimi ninachoka sana na sipati hamu ya chakula 2
@
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796منذ 5 سنواتMIMI SINA HAMU YA KULA KABISAAA NA MIMBA YANGU YA KWANZA HAIKUWA HIVYO KUNA DAWA YA KUPATA HAMU YA KULA? 9
@
@jenieljoseph8573منذ 3 سنواتDuuh we nae unazunguka Tu mgongo nyoooo alafu hujibu hata comments muone kwanza 3
@
@yaaishbaybe7477منذ 6 سنواتnakataa ati mtu alale anavotaka..aaah hatari kulala chali kuna mishipa yachakula na hewa from mama,to bby anaeza akiulalia mzazi mtoto adhurike 22
@
@macanilusiji3423منذ 5 سنواتDoctor hivi mjamzito anaruhusiwa kula ukwaju??? 5
@
@mauamussa4622منذ 5 سنواتDoctor mama mjamzito haruhusiwi kula kipolo? 7
@
@deborahsembe303منذ 5 سنواتKuna umuhimu gan Wa kufanya tendo la ndoa wakati Wa ujauzito 8